Nauza migebuka jumla na rejareja

Nauza migebuka jumla na rejareja

Yaan kumbe wewe unawajua haswaa..migebuka kwa kisamvu afu kiungwe Nazi..hatareee

Nawajuwa vizuri kabisaaa maana ndio nyumbani huko Ujiji nilipotokea so ndio vyakula vyetu hivyo na ugali wa muhogondio maana nikauliza kama unawabichi pia nyumbani ni nyumbani tu huwezi sahau asilia....
 
Na aina ya KUHE pia yupo..sh.12,000
b3e5490ccedcb19538b7f98f3e0ffa0b.jpg
7aa48e767546dbbadf7bd3547d1baa27.jpg

Hawa ni wale wa chumvi chumvi si ndio??
 
Nawajuwa vizuri kabisaaa maana ndio nyumbani huko Ujiji nilipotokea so ndio vyakula vyetu hivyo na ugali wa muhogondio maana nikauliza kama unawabichi pia nyumbani ni nyumbani tu huwezi sahau asilia....
Oohhhh sie huku twalia na dona..
Cheki kisamvu cha Karanga chenye migebuka
80d6b60c9fa818cdfed3d1338dc0c6d8.jpg
 
Habari zenu..
Nauza samaki aina ya migebuka kwa jumla na rejareja..
Naweza kukuletea ulipo kulingana na idadi ya samaki utakaochukua..
Kuna wa mafungu na kuna mmoja mmoja.
Bei ya mafungu ni 2000.. Na mmoja mmoja bei inaanzia 1000 mpaka 2500 kwa mmoja.
Nipo Dar Es Salaam na napatikana kwa namba 0757819948 (kwa maongezi ya biashara TU)

093ba2a521d933e59d9b0bd06ad41380.jpg

42507c26162e0c2d050a663f90929e83.jpg

View attachment 487890
Embu lete wa buku tano kwanza niwajaribu coz sijawahi kuwala..
Niko kibaha mail moja.
 
Embu lete wa buku tano kwanza niwajaribu coz sijawahi kuwala..
Niko kibaha mail moja.
Mteja anafatwa kama akiagiza wa 30,000 na kuendelea,,chini ya hapo karibu ufate samaki.
 
Mteja wangu wa goba na wa moshi..nmepoteza namba zenu,,naombeni mnitafute kwenye 0693255995
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom