Nauza migebuka jumla na rejareja

Nauza migebuka jumla na rejareja

Duh huwa nasikia hilo neno 'migebuka' lakini sikuwahi kufahamu kuwa ni aina ya samaki.

Asante kunitoa tongotongo maana picha ambayo nilikuwa naijenga nilipokuwa nasikia neno migebuka.... Mungu anajua
 
Habari zenu..
Nauza samaki aina ya migebuka kwa jumla na rejareja..
Naweza kukuletea ulipo kulingana na idadi ya samaki utakaochukua..
Kuna wa mafungu na kuna mmoja mmoja.
Bei ya mafungu ni 2000.. Na mmoja mmoja bei inaanzia 1000 mpaka 2500 kwa mmoja.
Nipo Dar Es Salaam na napatikana kwa namba 0757819948 (kwa maongezi ya biashara TU)

093ba2a521d933e59d9b0bd06ad41380.jpg

42507c26162e0c2d050a663f90929e83.jpg

View attachment 487890

Hawa wanapikwa kama kambale waliokaushwa? Au wanapikwaje?
 
Habari zenu..
Nauza samaki aina ya migebuka kwa jumla na rejareja..
Naweza kukuletea ulipo kulingana na idadi ya samaki utakaochukua..
Kuna wa mafungu na kuna mmoja mmoja.
Bei ya mafungu ni 2000.. Na mmoja mmoja bei inaanzia 1000 mpaka 2500 kwa mmoja.
Nipo Dar Es Salaam na napatikana kwa namba 0757819948 (kwa maongezi ya biashara TU)

093ba2a521d933e59d9b0bd06ad41380.jpg

42507c26162e0c2d050a663f90929e83.jpg

View attachment 487890
Niko Morogoro
hivi hawa samaki huwa wapo waliokaangwa tu??
 
okey sasa hawatachambuka ukiwatoa kwenye miba?
Wala hawachambuki,hakikisha mchuzi unaoutengeneza ushaiva ili ukiwadumbukiza wanachemka kiasi kisha unawatoa maana hapo walipo wameshaiva tayari.
 
Kumletea mtu inabidi anunue wa shs ngapi minimum?
 
Na aina ya KUHE pia yupo..sh.12,000
b3e5490ccedcb19538b7f98f3e0ffa0b.jpg
7aa48e767546dbbadf7bd3547d1baa27.jpg
 
Hamna bana tunatania tuuuu sasa why huuzi wabichi??
Sijawa na mtaji mkubwa wa kuwekeza kwenye uuzaji wa wabichi maana inabdi ujipange mafriza na pia usafirishaji wa kuwaleta huku wakiwa wazima
 
Sijawa na mtaji mkubwa wa kuwekeza kwenye uuzaji wa wabichi maana inabdi ujipange mafriza na pia usafirishaji wa kuwaleta huku wakiwa wazima


Ohhh sawa sawa hongera sana basi me nitakucheck atleast nipate wa kupikia kisamvu maana hao kwa kisamvu na mawese wazuri sanaaa
 
Ohhh sawa sawa hongera sana basi me nitakucheck atleast nipate wa kupikia kisamvu maana hao kwa kisamvu na mawese wazuri sanaaa
Yaan kumbe wewe unawajua haswaa..migebuka kwa kisamvu afu kiungwe Nazi..hatareee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom