ituganhila
Member
- Aug 25, 2009
- 24
- 0
Hapa ndipo wajasariamali tunapokwama, tunatoa taarifa pungufu namna hii unategemea soko lako litakuwaje??
Uko wapi?
Unauza bei gani kwa kilo?
Nahitaji kujua 1. Mahali mchele ulipo. 2. Bei ya mchele 3. Aina ya mchele (Mbegu) Na 4. unauza kuanzia kilo ngapi. Nasubiri jibu tafadhali
Nadhani Elimu ya Masoko, ikiwemo matumizi sahihi ya Mitandao kama huu kwa nyenzo ya Masoko, kwa Wakulima/Wajasiriamali wa hapa kwetu ni mchakato. Tuvumiliane, tuelimishane, tukumbushane na taratibu tutafika!
Kaka, nimevutiwa na tangazo lako, sio kwa sababu mimi ni mnunuzi, la hasha, bali kwa kuwa niko katika maandalizi ya kulima mpunga.
Hongera kwa kulima na kufanikiwa kupata mchele mwingi.
Hata hivyo ningekushauri katika Tangazo lako uongeze taarifa zifuatazo: Mahali mchele ulipo, namna ambayo wateja watarajiwa (seriuos prospective buyers only) wanaweza ona sampuli ya mchele wako, kiasi gani cha mchele, kwa kilo, unacho, bei elekezi kwa kilo na mchele wako ni aina gani hasa ukizingatia kuwa Shule wanazingatia zaidi uwezo wa mchele kuvimba ukipikwa zaidi ya harufu.
Ninakutakia mafanikio mema!
Aksant, mimi niko hapa DSM na mchele ukihitaji sapmle naweza kuwsiliana nawe ili uweze kuupataUpo wapi ?
Hapa ndipo wajasariamali tunapokwama, tunatoa taarifa pungufu namna hii unategemea soko lako litakuwaje??