Nauza mayai ya blue

Nauza mayai ya blue

Tanzanite klm

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
478
Reaction score
411
Habari wadau,wale kuku wangu wanaotaga mayai ya blue,wameanza kutaga.yai moja 2500.
Atakaye ani PM
 
hivi ni ya bluu kwa nje au kwa ndani?
 
Acha kudanganya watu. Hakuna kuku anaetaga mayai ya bluu.
 
Acha kudanganya watu. Hakuna kuku anaetaga mayai ya bluu.

Acheni ushamba kama hujui uliza!
Mayai yapo kama haujawai yaona nenda kitunda kule wapo watu wengi tu wana ffuga hawa kuku!
 
Bado kidogo mtatuletea na mayai ya rangi NYEUSI na NYEKUNDU.....
 
Kakojoe ukalale.

this forum is not right for you.,
go to politics,or chit chat,
NO SANE MAN can comment like this.
Mens are talking about these 3's CONCORDIA.INTEGRITAS.INDUSTRIA.
 
Kaka kitomary hongera sana kwa kufungua watu,.kuna watu wanashangaa kusikia mayai ya blue alafu eti anajiita mjasiriamali alafu anatoa comment za ajabu badala ya kuomba msaada apewe ma ujanja.
Kaka hapa ukiambia watu kwamba BUKINi ni 150,000 watakimbia.
But thanks God serious buyers always huwa wana PM na then mnapiga kitu cha MOSHI yani pesa.
Be blessed amigo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom