kiri12 JF-Expert Member Dec 21, 2013 637 555 Mar 22, 2018 #1 Habari wanajamvi, mi ninauza mashine ya selcom, ni mpya kabisa, sababu ya kuiuza ni kurudisha pesa yangu maana eneo nililopo hakuna mzunguko wa watu wengi, mashine ni mpya kabisa mwenye laki sita na nusu anipm, maongezi yapo.
Habari wanajamvi, mi ninauza mashine ya selcom, ni mpya kabisa, sababu ya kuiuza ni kurudisha pesa yangu maana eneo nililopo hakuna mzunguko wa watu wengi, mashine ni mpya kabisa mwenye laki sita na nusu anipm, maongezi yapo.
Joselela JF-Expert Member Jan 24, 2017 5,677 6,962 Mar 22, 2018 #3 paschal sabai said: Laki 2 ni pm Click to expand... Aiseee laki 6.5 down to laki 2
lolyz JF-Expert Member Sep 9, 2011 339 199 Mar 22, 2018 #5 hiyo mashine ya selcom inafanya kazi gani mkuu? ina faida gani?nafikiri sio kila mtu ana uelewa nayo..pia nini tofauti ya hiyo bei ya used vs mpya?
hiyo mashine ya selcom inafanya kazi gani mkuu? ina faida gani?nafikiri sio kila mtu ana uelewa nayo..pia nini tofauti ya hiyo bei ya used vs mpya?
Mamndenyi JF-Expert Member Apr 11, 2011 40,607 52,334 Mar 22, 2018 #6 Nipe namba yako kwenye pm tuongee biashara mwanangu.
kiri12 JF-Expert Member Dec 21, 2013 637 555 Mar 22, 2018 Thread starter #7 lolyz said: hiyo mashine ya selcom inafanya kazi gani mkuu? ina faida gani?nafikiri sio kila mtu ana uelewa nayo..pia nini tofauti ya hiyo bei ya used vs mpya? Click to expand... Inatoa huduma mbalimbali, kama kuuza luku na zingine
lolyz said: hiyo mashine ya selcom inafanya kazi gani mkuu? ina faida gani?nafikiri sio kila mtu ana uelewa nayo..pia nini tofauti ya hiyo bei ya used vs mpya? Click to expand... Inatoa huduma mbalimbali, kama kuuza luku na zingine
kiri12 JF-Expert Member Dec 21, 2013 637 555 Mar 22, 2018 Thread starter #8 Mamndenyi said: Nipe namba yako kwenye pm tuongee biashara mwanangu. Click to expand...
lolyz JF-Expert Member Sep 9, 2011 339 199 Mar 22, 2018 #10 kiri12 said: Inatoa huduma mbalimbali, kama kuuza luku na zingine Click to expand... Oky
Mima white cute JF-Expert Member Nov 24, 2017 740 1,305 Mar 22, 2018 #12 Kitu hata ukikutoa dukani sasa hivi kikishhafika mkononi haina thamani Tena Kwa bei hiyo sawa nadukani hupati kitu
Kitu hata ukikutoa dukani sasa hivi kikishhafika mkononi haina thamani Tena Kwa bei hiyo sawa nadukani hupati kitu
kiri12 JF-Expert Member Dec 21, 2013 637 555 Mar 22, 2018 Thread starter #13 Mima white cute said: Kitu hata ukikutoa dukani sasa hivi kikishhafika mkononi haina thamani Tena Kwa bei hiyo sawa nadukani hupati kitu Click to expand... We kama huna hela na ahuitaji kaa kimya, wenye shida nayo watakuja
Mima white cute said: Kitu hata ukikutoa dukani sasa hivi kikishhafika mkononi haina thamani Tena Kwa bei hiyo sawa nadukani hupati kitu Click to expand... We kama huna hela na ahuitaji kaa kimya, wenye shida nayo watakuja
kiri12 JF-Expert Member Dec 21, 2013 637 555 Mar 22, 2018 Thread starter #14 Heaven Ambassador said: Nikupe mia mia tatu Click to expand... Hapana, tano na nusu labda, maana ni mpya mi nataka kurudisha hela ya mashine tu
Heaven Ambassador said: Nikupe mia mia tatu Click to expand... Hapana, tano na nusu labda, maana ni mpya mi nataka kurudisha hela ya mashine tu
The Messenger JF-Expert Member Jul 2, 2014 1,523 808 Mar 22, 2018 #16 Joselela said: Aiseee laki 6.5 down to laki 2 Click to expand... People always tend to take advantage in your difficult!! Na hii ndo tofauti kati ya "Human being and Being Human"
Joselela said: Aiseee laki 6.5 down to laki 2 Click to expand... People always tend to take advantage in your difficult!! Na hii ndo tofauti kati ya "Human being and Being Human"
kiri12 JF-Expert Member Dec 21, 2013 637 555 Mar 22, 2018 Thread starter #17 The Messenger said: People always tend to take advantage in your difficult!! Na hii ndo tofauti kati ya "Human being and Being Human" Click to expand... Kweli kabisa watu wanadharau na biashara za watu,
The Messenger said: People always tend to take advantage in your difficult!! Na hii ndo tofauti kati ya "Human being and Being Human" Click to expand... Kweli kabisa watu wanadharau na biashara za watu,
kiri12 JF-Expert Member Dec 21, 2013 637 555 Mar 28, 2018 Thread starter #18 Mashine bado ipo mwenye kuhitaji aje
tamsana JF-Expert Member Jan 13, 2012 3,245 7,116 Mar 28, 2018 #19 kiri12 said: Mashine bado ipo mwenye kuhitaji aje Click to expand... 350k
vvm JF-Expert Member Jul 18, 2014 6,311 10,353 Mar 28, 2018 #20 Inaweza kutumika mikoani ? I mean vijijini ambako kuna shida ya mtandao?