Nauza mananasi

Joined
Jan 16, 2014
Posts
15
Reaction score
1
mananasi yanauzwa makubwa yanapendeza yanaanzia shilingi 2000 na kuendelea na pia unaweza kuchukua hata kwa jumla
namba ya simu; 0658377013
0712660380
0714624950
TUNAPATIKANA DAR ES SAALAM
jenga afya yako unasubiri nini😀😀😀😀
 
ukitupia picha inapendeza zaidi, kingine ni hyo elfu mbili ni pamoja na gharama ya usafiri??
 
unapatikana maeneo gani kwa hapa dar???
 
/attach]
 

Attachments

  • 1448368131652.jpg
    57.1 KB · Views: 311
Halafu unapiga picha umevaa jezi ya Barcelona unatuabisha arrro
We Mananasi yenye kuiva sio hayo ya kuchemsha
 
Halafu unapiga picha umevaa jezi ya Barcelona unatuabisha arrro
We Mananasi yenye kuiva sio hayo ya kuchemsha

haaaa zanzibar spices unaona gere na gere yazidi bamba wewe ni mbuzi utakula kwa urefu wa kamba huna hela mzenji piga kimya na watu wanapiga simu kama uchafu DON BOTHER
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…