Nauza mahindi makavu

Nauza mahindi makavu

Acha undezi ni wapi nimekupangia? Biashara mapatano Mi nimeomba unifanyie hiyo bei kama waona haikulipi si unasema
Namimi nmekuomba unifanyie 5000 so usipanic mkuu tuliza mshono
 
Nataka kujua kwa gunia 100 jumla itakuwa bei gani? Ni nunue zote kwa bei yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom