Niletee dumu la lita 5 kwanza niyajaribu, yakiwa mazuri kweli hayajachakachuliwa nitakuagiza hayo makubwa. Natumia lugha kama yako, so, niletee mteja mie, sitanii!
hiyo bei ya sh. 15,000 kwa lita 5 ni ya dar au wapi? umeambiwa yametoka singida. mi nipo dodoma na bei ya lita 5 ni sh. 15,000 na lita 20 ni sh. 60,000. sasa bei ya sh 15,000 kwa lita 5 kwa dar ni pamoja na usafiri maana alizeti hailimwi dar