Nauza line ya M-PESA na Tigo PESA

Nauza line ya M-PESA na Tigo PESA

chaudere

Member
Joined
Jun 21, 2012
Posts
24
Reaction score
0
ninauza line ya tigo pesa kwa shs laki nne na nusu na mpesa kwa shilingi laki moja na sabini...maongezi yapo.laini zinatumika dar es salaam...
 
Tunasubiri Namba Hiyo. Lakini, Hivi Hizo Line Haziwezi Tumika Nje Ya Dar?
 
Mi pia ninazo hizo lines na za kumwaga nauza..
Contact 0755 927881 nipo dar na unaweza zitumia popote apa Tanzania..
 
ninauza line ya tigo pesa kwa shs laki nne na nusu na mpesa kwa shilingi laki moja na sabini...maongezi yapo.laini zinatumika dar es salaam...

Hahahaaa mkuu unahisi hizo lain ndo zitakutoa au sasa lain ya tigo pesa itauzwa laki nne ina nn aircondition kwa ndani au? Hata hyo ya mpesa huwezi kuuza kwa bei hyo km kuna mtu anahitaji lain za mpesa zipo anipm tufanye bussiness.
 
Hahahaaa mkuu unahisi hizo lain ndo zitakutoa au sasa lain ya tigo pesa itauzwa laki nne ina nn aircondition kwa ndani au? Hata hyo ya mpesa huwezi kuuza kwa bei hyo

hizi zangu ni self contained....
 
Back
Top Bottom