QueenKong
Member
- Sep 20, 2018
- 28
- 6
Habari wanabodi,
Nauza laptop yenye specifications zifuatazo:
Operating System: Windows 10 Pro
Processor: Intel Core i3
CPU: 2.0GHz
RAM: 4.00GB
System Type: 64-bit Operating system
Hard Disk: 500GB
BEI 635k
View attachment 872229View attachment 872231
Hujui PC wewePunguza bei. Iyo bei ni ya Dukani kabisaaaa. Pia jua lenovo ndio brand ya chini sana kwenye PC
Inaweza kuwa brand ya chini sana kwa Bongo lakini sio nchi zilizoendeleaPunguza bei. Iyo bei ni ya Dukani kabisaaaa. Pia jua lenovo ndio brand ya chini sana kwenye PC
Hahahahaha umejuajee? Nakumbuka kipindi flani nililetewa PC ya Dell nyeusi nilishindwa kuiuza sababu Bongo enzi hizo walikuwa wanajua PC lazima iwe Nyeupe rangi ya maziwa...🤣🤣🤣Asante mkuu. Bongo wamezoea Dell na HP
Broooo, Lenovo PC zinazo kuja TZ hakuna kitu. Fuatilia kama upo dar pita mtaa wa Uhuru utajua ninacho kuambia. Sio kama nadharau LenovoInaweza kuwa brand ya chini sana kwa Bongo lakini sio nchi zilizoendelea
Labda kama ulienda kuwauzia wasukuma wenzioHahahahaha umejuajee? Nakumbuka kipindi flani nililetewa PC ya Dell nyeusi nilishindwa kuiuza sababu Bongo enzi hizo walikuwa wanajua PC lazima iwe Nyeupe rangi ya maziwa...
Sio kuzoea Dell na HP. Lenovo hasa hizi za Tz ndio zinaongoza kwa kuwa na Quality ndogo sana.Asante mkuu. Bongo wamezoea Dell na HP