Nauza laini ya tigo pesa.

Nauza laini ya tigo pesa.

baby wa kitaa

Member
Joined
Oct 22, 2013
Posts
65
Reaction score
26
Baby wa kitaa biashara imenishinda!kukaa kibandani kusubiri wateja ambao hata sijui watakuja au la imekuwa ngumu!nauza line yangu ya TIGO PESA bei lakin nane tu!changamkieni basi mwenzenu nimechoka na biashara!
 
Baby wa kitaa biashara imenishinda!kukaa kibandani kusubiri wateja ambao hata sijui watakuja au la imekuwa ngumu!nauza line yangu ya TIGO PESA bei lakin nane tu!changamkieni basi mwenzenu nimechoka na biashara!

Ehuuuu. Nimekuja mbio kumbe, wala, siyo kuuza tigo ninayoijua!
 
Laki 3 nakupa cash bila mgogoro coz niliko wateja wa tgo ni very few.(serious).
call me 0768421030
 
Baby wa kitaa biashara imenishinda!kukaa kibandani kusubiri wateja ambao hata sijui watakuja au la imekuwa ngumu!nauza line yangu ya TIGO PESA bei lakin nane tu!changamkieni basi mwenzenu nimechoka na biashara!

Laki nane mhh watu wanauza mpya laki sita wewe used laki nane.
 
Mimi mwenyewe nauza kwa laki 5 mpaka Leo sijapata mteja
 
Back
Top Bottom