joel peter
Member
- Feb 10, 2014
- 22
- 6
nauza kuku wa kienyeji. kwa anayetaka a reply hii post!
nauza kuku wa kienyeji. kwa anayetaka a reply hii post!
Hello..kama ni pure kienyeji mimi nahitaji mitete kama 10 je utanifanyie bei gani?
unapatikana wapi?
wana uzito gani kwa kukisia?
bei gani?
Ok..unapatikana wapu
Ok haina ttzo
Ili unisafirishie umesema inabidi wawe wengi. Kwako wengi ni kuanzia wangapi? Nipo Kinyerezi
mbona k100 sasa
ukiwa unampelekea ndugu yangu wa kinyerezi nipitishie majogoo2 wakubwa kuna 20elfu hapa tbt segerea kwa mfojo
ukiwa unampelekea ndugu yangu wa kinyerezi nipitishie majogoo2 wakubwa kuna 20elfu hapa tbt segerea kwa mfojo