KAMPENI ZA CCM :
Mwijage:-Baada ya miaka 50 ya
uhuru wa mtanzania,tunakiri
kwamba kuna madhaifu ndani ya
ccm,lkn siafu wakiingia
ndani,tunachukua majivu ya baridi
tunanyunyiza juu ya siafu
wanatoka na nyumba inabaki
salama.....na ktk ilani ya chama
kifungu cha 40 ,tutahakikisha kila
kijiji kinapata umeme wa jua
kupitia grid ya Taifa....
THIS IS COMPLETELY
SHAME....SHAME ON YOU
CCM...LOWASSA IKULU NJIA
NYEUPEEEEEEEEE!!!!!