kelvin mwakipesile96
Member
- Feb 14, 2019
- 11
- 3
Mimi ni mjasiriamali mdogo nae jishughulisha na biashara mbalimbali ikiwemo kuuza kuku chotora wa mayai kwa bei nafuu kabisa ya shilingi 7500. Nina toa huduma ya kuwaandaa kuku pia na packaging na free delivery kwenda sehemu yeyote ila dar es salaam. Kwa mawasiliano nitafute kwa namba 0765440521