Dee david
Member
- Aug 30, 2018
- 35
- 18
Habari zenu wakuu, tunaelekea pasaka
Mimi ni mfugaji mdogo wa kuku. Baada ya kufanya mauzo Christmass na New Year nimeona faida kubwa katika ufugaji. Kwa yoyote mwenye uhitaji wa kuku chotara 60 kama wa livyo bandani. Ni chotara aina ya Kuroiler, Wazito na wamejaza minofu.
Nunua kwa 15,000/=@ uuze kwa 20,000/=@. Ukiwauza wote utakufaidika na 300,000/= kama faida. Atakae chukua wote kwa mkupuo atachukua kwa 14,000/= @ .
Kwa mawasiliano 0625604674
Asanteni.
0625604674.
Mimi ni mfugaji mdogo wa kuku. Baada ya kufanya mauzo Christmass na New Year nimeona faida kubwa katika ufugaji. Kwa yoyote mwenye uhitaji wa kuku chotara 60 kama wa livyo bandani. Ni chotara aina ya Kuroiler, Wazito na wamejaza minofu.
Nunua kwa 15,000/=@ uuze kwa 20,000/=@. Ukiwauza wote utakufaidika na 300,000/= kama faida. Atakae chukua wote kwa mkupuo atachukua kwa 14,000/= @ .
Kwa mawasiliano 0625604674
Asanteni.
0625604674.