Mauza uza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2008
- 2,097
- 1,363
Kiko maeneo ya tegeta njia ya kwenda wazo wanaita tegeta kwa makamba...ni eneo zuri,maji na barabara pouwa..nauza kwa vile uwezekano wa kurejea bongo kwa wakati huu ni mdogo...ukubwa ni nusu eka na bei ni kuanzia 10m.....ni pm au mpigie mtu wangu wa bongo kwa namba hii 0715060183..