mi cha kwangu kipo BUYUNI cha mradi pia ....nakiuza TZS6000/sq meter(bei ya serikali),kina ukubwa wa 2000sqM.kinalipiwa land rent kila mwaka toka 2007.
kwa sasa kuna mradi mkubwa wa PPF,wanajenga nyumba elfu kadhaa kule...barabara ni nzuri ,zilichongwa enzi za magufuli akiwa pale ardhi.
kwa nini nauza? jibu: nimegundua kumiliki viwanja bila nyumba sio deal mjini hapa,nakusanya funds niendeleze ujenzi.
anayehitaji aniPM pls