Nauza kiwanja Luguluni milion 500

Nauza kiwanja Luguluni milion 500

Nipigie simu nikupeleke ukaione eneo au mtume muakilishi wako boss.
 
Habari wakuu.

Kwa wale maboss zangu wawekezaji nimewaleta kiwanja ambacho kipo Luguluni mkabala na nyumba ya mkuu wa wilaya ya Ubungo.

Kiwanja kina sifa sifuatizo.

(1) Hati ya wizarani matumizi ya makazi au biashara

(2) Sqm 1380

(3)Kiwanja kinatazamana na. Morogoro Road

(4) Hakuna mgogoro wa Aina yoyote. kama vile (I) mgogoro wa serikari
(II) Mgogoro wa familia
(III) Mgogoro wa kiwanja wa mirathi.
Mmiliki wa kiwanja yupo Hai.
Kiwanja hiki kinauzwa Milion 500.

Unaweza ukajenga
(a) Hotel
(b) Petrol Station
(C) Godown

Kwa hitaji la kwenda kuliona eneo nipigie simu/WhatsApp
📱0754693556View attachment 3273380
Huko Luguruni hicho Kiwanja ni Cha kuijenga nyumba au Jengo au ni Kiwanja Cha Mpira Kama vile Cha Benjamin William Mkapa na Viwanja vya Soka vya Jamhuri vya huko Morogoro na Dodoma???

Bei hii ni kubwa sana kupita kiasi ukilinganisha na ukubwa wa kiwanja chenyewe, labda uendelee kusubiri hadi miaka 30 ijayo.
 
Huko Luguruni hicho Kiwanja ni Cha kuijenga nyumba au Jengo au ni Kiwanja Cha Mpira Kama vile Cha Benjamin William Mkapa na Viwanja vya Soka vya Jamhuri vya huko Morogoro na Dodoma???

Bei hii ni kubwa sana kupita kiasi ukilinganisha na ukubwa wa kiwanja chenyewe, labda uendelee kusubiri hadi miaka 30 ijayo.
Okay vizuri lakini Mwenye kuhitaji ataenda kupaona na atakubaliana na Bei yangu.

Sisi ambao hatuna Hela Bana tunapenda kukosoa kitu bila kuona uhalisia wake.
 
Daah Sisi madalali Bana asee nimeona Kuna mtu amepost hili eneo Kwa Shilling Bilion 1

Daah wakuu tunataka Hela lakini sio kama hivi biashara ya mtu inachelewa kutokana na tamaa ya Bei kubwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom