nauza kiwanja Itezi mbeya

nauza kiwanja Itezi mbeya

BLB

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2011
Posts
382
Reaction score
43
wadau nna kiwanja changu 610sqm, kipo makazi mapya karibu na shule ya Itezi Mbeya, documents zote zipo.
Its only 3m.
Nichek kwenye
0757865489
 
Weka hata bei ya kuanzia majadiliano ndugu yangu. Tubadilike Watanzania, ikiwa kama mtu anauza kitu, anapaswa kutoa maelezo yote ikiwamo bei. Tuache tabia za kizamani, ikiwa kama unadhamira ya kweli na unajua thamani ya bidhaa yako, je ni kwanini usiitajie bei hadharani?
Ninakerwa sana!!!!
 
Weka hata bei ya kuanzia majadiliano ndugu yangu. Tubadilike Watanzania, ikiwa kama mtu anauza kitu, anapaswa kutoa maelezo yote ikiwamo bei. Tuache tabia za kizamani, ikiwa kama unadhamira ya kweli na unajua thamani ya bidhaa yako, je ni kwanini usiitajie bei hadharani?
Ninakerwa sana!!!!

soma msg yangu vizur,
bei nimeweka, 3m.
I meant milion tatu.
 
Weka hata bei ya kuanzia majadiliano ndugu yangu. Tubadilike Watanzania, ikiwa kama mtu anauza kitu, anapaswa kutoa maelezo yote ikiwamo bei. Tuache tabia za kizamani, ikiwa kama unadhamira ya kweli na unajua thamani ya bidhaa yako, je ni kwanini usiitajie bei hadharani?Ninakerwa sana!!!!
ubadilike wewe izo ni tabia zako usitake kuhisi kila mtu yupo ivooo
 
Weka hata bei ya kuanzia majadiliano ndugu yangu. Tubadilike Watanzania, ikiwa kama mtu anauza kitu, anapaswa kutoa maelezo yote ikiwamo bei. Tuache tabia za kizamani, ikiwa kama unadhamira ya kweli na unajua thamani ya bidhaa yako, je ni kwanini usiitajie bei hadharani?
Ninakerwa sana!!!!

Hapo pekundu watu wengine wanongea kwa kucremu
 
Nimepata mawazo ya watu wasiokuwa na uzoefu wa masoko (marketing); watu waliyozoea kuuza bidha kama wale vibaka wa Ubungo Mataa au vituo vya mabasi. Iweje useme unauza kitu, kisha ushindwe hata kutoa bei ya awali na mtu akikukumbusha unakasirika, kuuza si siri, tuangalie hata matangazo yanayofanywa na makampuni.
 
Nimepata mawazo ya watu wasiokuwa na uzoefu wa masoko (marketing); watu waliyozoea kuuza bidha kama wale vibaka wa Ubungo Mataa au vituo vya mabasi. Iweje useme unauza kitu, kisha ushindwe hata kutoa bei ya awali na mtu akikukumbusha unakasirika, kuuza si siri, tuangalie hata matangazo yanayofanywa na makampuni.
Hii ina maana huoni ndugu kaweka 3m tatizo hisomi kwa umakini eti.
 
Bei si ipo hapo juu tayari. Wabongo mbona tunapenda tabia ya kujifanya wajuaji?
Hutaki unaacha...
 
Nimepata mawazo ya watu wasiokuwa na uzoefu wa masoko (marketing); watu waliyozoea kuuza bidha kama wale vibaka wa Ubungo Mataa au vituo vya mabasi. Iweje useme unauza kitu, kisha ushindwe hata kutoa bei ya awali na mtu akikukumbusha unakasirika, kuuza si siri, tuangalie hata matangazo yanayofanywa na makampuni.

mkuu mi hata sikuelewi,
mbona bei nimeweka,
au unazungumzia nini....
 
Bei si ipo hapo juu tayari. Wabongo mbona tunapenda tabia ya kujifanya wajuaji?
Hutaki unaacha...

kweli watu 2natofautiana sana kwenye kuelewa,
yani bei ipo peupeeee,
ila jamaa haoni afu analeta maneno meeengi....
Wkend njema wana jf
 
Back
Top Bottom