bucho
JF-Expert Member
- Jul 13, 2010
- 5,175
- 3,275
- Thread starter
- #21
Ahsante mkuu,
Unajua tena mida imepita bila kufika pande hizo!! Ila napafagilia A-town vibaya sana. Huenda ndo ikawa destination yangu kikazi zaidi huku Dar joto, vumbi, maji shida, mikojo kila sehemu yaani kila aina ya kero zimejaa. Hope nitapata hata kule nyuma ya kisongo.
we ukiwa tayari njoo utapata maeneo ila jipange vizuri.