Nauza kiwanja changu Changanyikeni Dar es salaam

Nauza kiwanja changu Changanyikeni Dar es salaam

bullbar

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2014
Posts
360
Reaction score
550
Habari zenu mabibi na mabwana,, poleni na majukumu ya kujenga nchi ya wiki nzima. Nakuja kwenu kwa mara nyingine tena nikiwa na tangazo langu la kuuza kiwanja changu ambacho kipo maeneo ya changanyikeni DSM.
MAELEZO YA KIWANJA
1. kiwanja kina ukubwa wa urefu na upaana square meter 30 kwa 20.
2. kipo katika sehemu nzuri ..na kinafaa kwa kujenga nyumba ya kuishi au frame za kupangisha maana kipo njiani karibu na barabara iendayo chuo kikuu ( UDSM) na makongo juu..
3. bei ni kuanzia million 20 na kama unapungufu utaongea .
SABABU YA KUKIUZA KIWANJA
kutokana na matatizo yalio nikumba na yanayoendelea kunisumbua, nikiwa na hali ya shida ya pesa...nimeona nidispose sehemu yangu ili nitatue shida zangu japo si zote.

NB..nikiamini JF ni sehemu pia ambayo inatembelewa na watu wengi na wenye hekima na weledi naamini ntafanikiwa kwa kutumia kama soko.
Tafadhali dalali HATAKIWI...
MAWASILIANO..MAULIZO NA MAELEZO ZAIDI
piga 0755416980 au 0688354089
SERIOUS BUYERS ONLY.
 
Mkuu Fanya 12m tufanye biashara. Nije kukiona Leo leo
 
Mkuu Fanya 12m tufanye biashara. Nije kukiona Leo leo

kama unaweza nipigie tuongee biashara ...na pia nina imani utaniongeza kidogo maana ni kweli nina shida sana na hela
 
Surveyed?
Au Kuna Jirani yako aliepima?
Maji na Umeme?
 
shark maji na umeme c o shida...maji kuna jamaa anakisima ana supply kama unahitaji ila co dawasco...kuhusu kupimwa kuna jirani kama wa nne wamepima
 
Watu wengi wa jf huwa wanaishia kukuuliza maswali meeeengi na kutoa ahadi tamu lakini hawanunui, ukikosa kabisa mtu wa kununua nitafute nikupe milioni kumi cash

We sio mtu wa jamii forum?! Tofauti yako na hap wengine ni ipi?!
 
habari zenu wakuu....nashukuru kwa wote mlionipa ushirikiano..kiwanja kimeshapata mteja na ameshanunua.
ANGALIZO NA WITO
si kila mtu humu JF hajitambui wengi humu ni watu wanaojoheshimu na wenye ustaarabu wao ...si vyema na busara kuwatolea maneno ya kifedhuli na kashfa kwa watu msio wajua....ahsanteni
 
Back
Top Bottom