Nauza kitanda changu(bila godoro) size ni 5*6 ni mbao ngumu. Nimenunua miezi 3 tu iliyopita kwa sh 170,000 mtu akija na 130k namuachia. Sina simu ya kupigia picha ila bado kipya,location kigamboni dar.
Hali imekuwa mbaya,itanisaidia wakati nasubiri hata kibarua(naamini nitapata soon kwa uwezo wa Mungu).
Kama sio mnunuzi sio lazima sana ucomment,you may want to reserve your ink for future use. ASANTENI NA KARIBUNI