Hawa Jamaa wanachosha network inazingua bora nihame
Mimi nauza Tshs. 10, 000/-, complete pamoja na antenna yake. Kila nikirudi nyumbani nikikiangalia napata hasira. Nimejiunga na Azam TV. Jamaa wako vyema sana! Hakuna cha picha kuganda, hakuna cha no signal, wala hakuna cha not subscribed. Startimes ni matapeli tu.