Nauza kila aina za wine

ymcb

Member
Mar 26, 2012
15
1
nauza wine ma dompo,saint anna n.k kwa bei chee buku 6300 tuu wanaoititaj mizigo mikubwa niambien
 
Dompo inanipa halijojo......nitakuja kununua st Anna......una st Vincent.....?
 
:help:Jamani mwenzenu najifunza kugida,niambieni wine nzuri for beginners!
Teh teh
 
biashara za humu jukwaani ipo siku tutauziwa bangi maana daah, nikiwaza nabandika tu kabiashara kangu alafu naingia mitini,
 
Mi nataka chupa moja kubwa
Unataka kama hii??!
big_bottlewill.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom