Y ymcb Member Mar 26, 2012 15 1 Mar 31, 2012 #1 nauza wine ma dompo,saint anna n.k kwa bei chee buku 6300 tuu wanaoititaj mizigo mikubwa niambien
Fidel80 JF-Expert Member May 3, 2008 21,947 4,444 Jan 18, 2013 #3 ymcb said: nauza wine ma dompo,saint anna n.k kwa bei chee buku 6300 tuu wanaoititaj mizigo mikubwa niambien Click to expand... unapatikana wapi nikuungishe ndugu
ymcb said: nauza wine ma dompo,saint anna n.k kwa bei chee buku 6300 tuu wanaoititaj mizigo mikubwa niambien Click to expand... unapatikana wapi nikuungishe ndugu
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,864 155,822 Jan 18, 2013 #4 ymcb said: nauza wine ma dompo,saint anna n.k kwa bei chee buku 6300 tuu wanaoititaj mizigo mikubwa niambien Click to expand... Mi nataka chupa moja kubwa
ymcb said: nauza wine ma dompo,saint anna n.k kwa bei chee buku 6300 tuu wanaoititaj mizigo mikubwa niambien Click to expand... Mi nataka chupa moja kubwa
Preta JF-Expert Member Nov 28, 2009 24,323 18,793 Jan 18, 2013 #5 Dompo inanipa halijojo......nitakuja kununua st Anna......una st Vincent.....?
H Henry Zared Member Jan 22, 2013 15 2 Jan 23, 2013 #6 Mkuu mbona husemi uko wapi na unapatikana vipi? hebu weka namba ya simu basi au email.
AMB JF-Expert Member May 31, 2013 206 65 Aug 30, 2013 #7 :help:Jamani mwenzenu najifunza kugida,niambieni wine nzuri for beginners! Teh teh
1 19don JF-Expert Member May 13, 2011 672 205 Aug 30, 2013 #9 biashara za humu jukwaani ipo siku tutauziwa bangi maana daah, nikiwaza nabandika tu kabiashara kangu alafu naingia mitini,
biashara za humu jukwaani ipo siku tutauziwa bangi maana daah, nikiwaza nabandika tu kabiashara kangu alafu naingia mitini,
Kibanga Ampiga Mkoloni JF-Expert Member Aug 9, 2007 18,697 8,843 Mar 20, 2014 #10 hhahah!hivi huyu mfanya biashara alifia wapi?
Bigirita Platinum Member Feb 12, 2007 15,986 7,366 Mar 20, 2014 #11 Bujibuji said: Mi nataka chupa moja kubwa Click to expand... Unataka kama hii??!