Y ymcb Member Joined Mar 26, 2012 Posts 15 Reaction score 1 Mar 31, 2012 #1 nauza wine ma dompo,saint anna n.k kwa bei chee buku 6300 tuu wanaoititaj mizigo mikubwa niambien
MTAZAMO Platinum Member Joined Feb 8, 2011 Posts 20,082 Reaction score 35,275 Jan 18, 2013 #2 Aiseeee!!! sie wa reja reja?
Fidel80 JF-Expert Member Joined May 3, 2008 Posts 21,945 Reaction score 4,506 Jan 18, 2013 #3 ymcb said: nauza wine ma dompo,saint anna n.k kwa bei chee buku 6300 tuu wanaoititaj mizigo mikubwa niambien Click to expand... unapatikana wapi nikuungishe ndugu
ymcb said: nauza wine ma dompo,saint anna n.k kwa bei chee buku 6300 tuu wanaoititaj mizigo mikubwa niambien Click to expand... unapatikana wapi nikuungishe ndugu
Bujibuji Simba Nyamaume Platinum Member Joined Feb 4, 2009 Posts 78,007 Reaction score 165,538 Jan 18, 2013 #4 ymcb said: nauza wine ma dompo,saint anna n.k kwa bei chee buku 6300 tuu wanaoititaj mizigo mikubwa niambien Click to expand... Mi nataka chupa moja kubwa
ymcb said: nauza wine ma dompo,saint anna n.k kwa bei chee buku 6300 tuu wanaoititaj mizigo mikubwa niambien Click to expand... Mi nataka chupa moja kubwa
Preta JF-Expert Member Joined Nov 28, 2009 Posts 24,320 Reaction score 18,884 Jan 18, 2013 #5 Dompo inanipa halijojo......nitakuja kununua st Anna......una st Vincent.....?
H Henry Zared Member Joined Jan 22, 2013 Posts 15 Reaction score 2 Jan 23, 2013 #6 Mkuu mbona husemi uko wapi na unapatikana vipi? hebu weka namba ya simu basi au email.
AMB JF-Expert Member Joined May 31, 2013 Posts 206 Reaction score 65 Aug 30, 2013 #7 :help:Jamani mwenzenu najifunza kugida,niambieni wine nzuri for beginners! Teh teh
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,109 Reaction score 53,625 Aug 30, 2013 #8 wapi dompo?
1 19don JF-Expert Member Joined May 13, 2011 Posts 672 Reaction score 206 Aug 30, 2013 #9 biashara za humu jukwaani ipo siku tutauziwa bangi maana daah, nikiwaza nabandika tu kabiashara kangu alafu naingia mitini,
biashara za humu jukwaani ipo siku tutauziwa bangi maana daah, nikiwaza nabandika tu kabiashara kangu alafu naingia mitini,
Kibanga Ampiga Mkoloni JF-Expert Member Joined Aug 9, 2007 Posts 19,066 Reaction score 9,224 Mar 20, 2014 #10 hhahah!hivi huyu mfanya biashara alifia wapi?
Bigirita Platinum Member Joined Feb 12, 2007 Posts 16,043 Reaction score 7,477 Mar 20, 2014 #11 Bujibuji said: Mi nataka chupa moja kubwa Click to expand... Unataka kama hii??!