Ningependa niwatakie heri ya sikukuu za Christmas na mwaka mpya wadau wote wa Jamii forums, najua wengi wetu tutakuwa tumejumuika na familia zetu, basi ningependa ofa hii ambayo naweza nikasema sawa na bure isikupite.
Kama utakuwa mfuatiliaji wa threads zangu ni kwamba hapo awali niliorodhesha baadhi ya vitu vyangu navyouza, point ikiwa nipo kwenye hatua za mwisho za kusafiri kwenda ughaibuni kuangalia upande wa pili wa shilingi.
Kama uzi unavyojieleza hapo, nina kabati la milango miwili la vioo la kuwekea vyombo, Zulia la manyoya na king'amuzi cha DSTV na ungo wake pamoja na stablizer ya westpoint vyote nauza kwa Tsh400,000 tu.
Kwa wale wenye kuhitaji wanipigie kwa simu namba : +255 629 22 76 97.
Kama utakuwa mfuatiliaji wa threads zangu ni kwamba hapo awali niliorodhesha baadhi ya vitu vyangu navyouza, point ikiwa nipo kwenye hatua za mwisho za kusafiri kwenda ughaibuni kuangalia upande wa pili wa shilingi.
Kama uzi unavyojieleza hapo, nina kabati la milango miwili la vioo la kuwekea vyombo, Zulia la manyoya na king'amuzi cha DSTV na ungo wake pamoja na stablizer ya westpoint vyote nauza kwa Tsh400,000 tu.
Kwa wale wenye kuhitaji wanipigie kwa simu namba : +255 629 22 76 97.