Nauza kabati, meza, TV, Camera, Sofa nk

Nauza kabati, meza, TV, Camera, Sofa nk

thanx kwa niliokutana nao najua wanajua kwanini nimefanya maamuzi haya nashukuruni kwa support yenu kwakeli tumeongea na mmenipa support kubwa nawashukuru sana

wale wanaofanya masihara nyie pia niwashukuru maana kila mtu ana uhuru wa kusema chochote

appreciate much mshana jr sana sana also na wengine sijawa mention but we have finish the deal
 
Jaman wanaJF mnanichekesha sana,kwamba anauza bei za kimataifa,et arudishe tu ndani .
 
Jaman wanaJF mnanichekesha sana,kwamba anauza bei za kimataifa,et arudishe tu ndani .
 
Mbona bei za kimataifa mkuu...bei ya tv sh ngp? Sidhan km unauza...vitu used halafu bei zake mara mbili ya mpya

Huyu atakuwa mpanda au makete labda....huko wanakuwaga na bei zao...hiyo meza yako ya tv mpya dukan laki unusu....chek bei yako.
Anyway hutouza mkuu rudisha tu ndani.
Aisee
-Bei za kimataifa..!! Arudishe ndani..!!
-Mimi naona bora asiuze vitu kwanza mwishoni mwa mwaka na mwanzoni mambo yanakuwa magumu.
 
thanx kwa niliokutana nao najua wanajua kwanini nimefanya maamuzi haya nashukuruni kwa support yenu kwakeli tumeongea na mmenipa support kubwa nawashukuru sana

wale wanaofanya masihara nyie pia niwashukuru maana kila mtu ana uhuru wa kusema chochote

appreciate much mshana jr sana sana also na wengine sijawa mention but we have finish the deal
Pamoja sana DAVIES
 
Watu kama nyie mnaamsha gadhabu na kuifanya jf kuwa kama wote humu ni wajinga kama wewe, mwenzio anauza ana mambo take, wewe unaropoka kutafuta sifa, ukute wewe huna hata uwezo wa kumiliki hiyo meza ya TV,
Thanx saguda umeongea ukweli kabisa wachache wanatambua hili
 
Nimeomba mkopo niweke bond tv sijafanikiwa sasa nimeamua kuuza
Kabati ya vyombo 300000
Tv samsung 34 550000
Meza ya tv 250000
Sofa box mtu 1 na 3 350000
Printer 100000
Camera samsung mpx 16.2 150000
Pm kwa mazungumzo

b8736ebdbac426f908f8b69a134a5560.jpg
Printer aina gani???? 0626 620 846
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom