150000 mwisho 30Nipe bei ya camera
Nimeandika bei zote juu hapoNamba bei ya tv fasta.
Hebu njoo pm150000 mwisho 30
Mwananchi reliniUko wapi Mkuu?
Ya kawaida tuu mbonaMbona bei za kimataifa mkuu...bei ya tv sh ngp? Sidhan km unauza...vitu used halafu bei zake mara mbili ya mpya
acha utani, ukiona mwenzio anauza vitu vya ndani kuna mambo mengi, huwezi jua, tutiane moyo ktk maisha.sorry sijapenda hata kimoja
Si ungepita kimya! au ndio freedom of expression? una i miss usesorry sijapenda hata kimoja
mkuu labda alijisahau akaongeza ziro...we punguza ziro moja utapata beiHuyu atakuwa mpanda au makete labda....huko wanakuwaga na bei zao...hiyo meza yako ya tv mpya dukan laki unusu....chek bei yako.
Anyway hutouza mkuu rudisha tu ndani.