Nauza iphones

huyu Deimos nimemtumia anasema sim anasema hajaipata na ela hajanipatia kwel najuta iPhone 5 yangu

Daaah mkuu kweli umemtumia kwa kumuamini namna hiyo!? Pole ila hiyo kama umejitakia pia, unamuamini vipi mtu kwa kumpa mzigo bila malipo tena mkoani. Mimi nilikataa.
 
Daaah mkuu kweli umemtumia kwa kumuamini namna hiyo!? Pole ila hiyo kama umejitakia pia, unamuamini vipi mtu kwa kumpa mzigo bila malipo tena mkoani. Mimi nilikataa.
dah kk nlkua naona ni mtu wa maana kumbe alinipumbaza ila hatafika mbali na hiyo simu
 
Iphone 6 16GB au 6s 16 GB kama zipo nichek
 
Tuma no yako inbox ...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…