Nauza iphones

Mgavi Fulani

Senior Member
Joined
Sep 10, 2014
Posts
110
Reaction score
38
Habari wakuu. Na wote wenye ndoto za kumiliki Iphones.

Iphones used zilizo katika hali bora zinapatikana. Unachotakiwa ni jambo jepesi tu. Weka iphone unayohitaji nitakupatia bei zake na kukufikishia. Karibuni nyote.

Kwa haraka haraka:

Iphone 4s : 300,000
Iphone 5: 400,000 - 450,000.
Bila kusahau iphone 5s, 6, 6s, 6+.

Nyingie weka order nitakufikia kadri ya uwezo wangu kwa bei rafiki.
 
Haina haja ya kwenda PM. Tunamaliza hapa hapa tu...

Karibuni nyote.
 
Hizo hapo mkuu.
 

Attachments

  • IMG-20161017-WA0003.jpg
    91.7 KB · Views: 95
  • IMG-20161017-WA0006.jpg
    110.9 KB · Views: 89

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…