Nauza huawei P7

Nauza huawei P7

naona hii dunia niliyoko hazitumiki na kama zinatumika ni kiduchu sana to the point sizijui

Mwenzetu unatumikia kifungo China nini????MBNA hueleweku!!!kuna dunia ya peke yenu/yako??
 
Mwenzetu unatumikia kifungo China nini????MBNA hueleweku!!!kuna dunia ya peke yenu/yako??

amini usiamini sijawahi kuzisikia, nimemuuliza best wangu hapa mkenya naye kasema ndo kitu gani hicho! i am not being naive or ignorant, ila hii kitu kwa Obama sijawahi isikia!
 
hapa nilipo sijawahi kuzisikia kusema ukweli, mara nyingi nikiingia jamii natumia desktop comp na mara moja moja natumia my iphone or my ipad

Ok hawa jamaa wapo Siku nyingi sana ila ndo wameanza kutengeneza smart phones zao na pia wanakuja juu sana kama ni mtu wa iPhone na iPads najua u don't bother kucheki aina nyingine za simu hasa za android OS
 
amini usiamini sijawahi kuzisikia, nimemuuliza best wangu hapa mkenya naye kasema ndo kitu gani hicho! i am not being naive or ignorant, ila hii kitu kwa Obama sijawahi isikia!

Hawa hapa partner was arsenal
 

Attachments

  • 1408178529010.jpg
    1408178529010.jpg
    71.9 KB · Views: 86

Similar Discussions

Back
Top Bottom