Nauza HP Pavillion Note Book

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Aug 12, 2014
4,052
12,905
Nina HP Pavillion Note Book.
RAM 12 GB.
HDD 1T.
Webcam
Wi-fi.
Touch Screen.
i7.
15.7"
Windo 10.

Iko na hali yake ile ile. Sababu ya kuiuza sina kazi nayo. Nilinunulia kidosho ameleta ujinga nimeirejesha maskani.

Kama mtu ana hela ya kueleweka comment nikipenda offa yako nitakupm.

Usije pm kabla hujatoa offer yako.
 
Nina HP Pavillion Note Book.
RAM 12 GB.
HDD 1T.
Webcam
Wi-fi.
Touch Screen.
i7.
15.7"
Windo 10.

Iko na hali yake ile ile. Sababu ya kuiuza sina kazi nayo. Nilinunulia kidosho ameleta ujinga nimeirejesha maskani.

Kama mtu ana hela ya kueleweka comment nikipenda offa yako nitakupm.

Usije pm kabla hujatoa offer yako.
Achia bei ya pc mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom