Dausi
New Member
- Sep 25, 2020
- 1
- 0
Habari,
Nina Godoro langu nilinunua kwa ajiri ya mdogo wangu ila akawa amepata kazi nje ya dar kabla hajalitumia. Godoro ni Tanfoam 5x 6 lenye box ni nchi 10.
ni jipya kabsa halijalaliwa hata siku moja. naliuza kwa bei ya hasara ya laki 3 tu. (300000)
pia kuna mtungi mdogo wa oryx gesi pia ni mpya full na gesi yake nauza kwa 40000 tu.
Niko Dar kwa anayehitaji piga simu
0655302458
Nina Godoro langu nilinunua kwa ajiri ya mdogo wangu ila akawa amepata kazi nje ya dar kabla hajalitumia. Godoro ni Tanfoam 5x 6 lenye box ni nchi 10.
ni jipya kabsa halijalaliwa hata siku moja. naliuza kwa bei ya hasara ya laki 3 tu. (300000)
pia kuna mtungi mdogo wa oryx gesi pia ni mpya full na gesi yake nauza kwa 40000 tu.
Niko Dar kwa anayehitaji piga simu
0655302458