Reg. No ni. T BL kuhusu exemption sielewi full ni na half ni ipi, lakini kwa ufupi ni msamaha wa kodi kwenye magari unaotolewa kwa watumishi wa umma (Import duty, Excise duty)
Ok nazani itakuwa imesajiliwa mwezi wa nane hadi wa 9 mwaka 2010! Full namaanisha msamaha 100% na Half namaanisha msamaha 50% na 50% unalipia wewe,kwa kodi za TRA kodi ni kama mil5.4 kwa verossa! Kwa 10.5m nakupa 13.5 bado ipo juu,si umeona mdau hapo kapost verossa safi silver ya 2002 kwa cif ya 6400(~9.6m bila kubageni) ukupiga kamongo hapo inaweza ikashuka hadi Usd 5,800
[TH="width: 35%"]VIN(Vehicle Identification Number)/Serial No.[/TH]
[TD="width: 24%"]6045*** Full VIN/Serial No. will be shown on Proforma Invoice and Invoice
[/TD]
[TH="width: 21%"]Exterior Color[/TH]
[TD="width: 20%"]Silver[/TD]
[TD="colspan: 4"]Options:Anti-Lock Brakes / Driver Airbag / Passenger Airbag / Power Windows / Rear Window Defroster / A/C:front / Power Steering / Tilt Wheel / Digital Meter / AM/FM Radio / AM/FM Stereo / CD Player / Alloy Wheels / Power Door Locks / Power Mirrors[/TD]
[TD="colspan: 4"]Comment:Very clean interior
Looks & runs great
Low mileage
Alloy wheels!!!
Very good exterior!!!
[/TD]
Ok nazani itakuwa imesajiliwa mwezi wa nane hadi wa 9 mwaka 2010! Full namaanisha msamaha 100% na Half namaanisha msamaha 50% na 50% unalipia wewe,kwa kodi za TRA kodi ni kama mil5.4 kwa verossa! Kwa 10.5m nakupa 13.5 bado ipo juu,si umeona mdau hapo kapost verossa safi silver ya 2002 kwa cif ya 6400(~9.6m bila kubageni) ukupiga kamongo hapo inaweza ikashuka hadi Usd 5,800
Kaka GP kwa verossa lita moja ni 8KM kama unaendesha vizuri na unafanya service kwa wakati lakini kama unakanyaga hovyo na hufanyi service nzuri inakula zaidi. any way siuzi tena nimeamua niendelee kuitumia manake nilitaka tu kubadili aina ya gari.
Kaka GP kwa verossa lita moja ni 8KM kama unaendesha vizuri na unafanya service kwa wakati lakini kama unakanyaga hovyo na hufanyi service nzuri inakula zaidi. any way siuzi tena nimeamua niendelee kuitumia manake nilitaka tu kubadili aina ya gari.
hii yako ni 6 cylinder,
kwa Verossa ya 4 cylinder ya 2000cc inaweza kula kilometa ngapi kwa lita 1? natafuta ya 2000cc 4 cylinder maumivu yake kidogo nahisi yanaweza kua na uafadhali mkuu, hebu nishauri mapema.
hii yako ni 6 cylinder,
kwa Verossa ya 4 cylinder ya 2000cc inaweza kula kilometa ngapi kwa lita 1? natafuta ya 2000cc 4 cylinder maumivu yake kidogo nahisi yanaweza kua na uafadhali mkuu, hebu nishauri mapema.
Ndio ya kwangu ni 6 cylinder na ni cc 2000 nadhani 4 itakuwa inakula vizuri zaidi sina uzoefu sana. lakini kuwa mwangalifu na aina ya mafuta kuna verossa za zaidi ya mwaka 2001 zinatumia highly premium fuel ukipata hiyo utapata sana shida hapa mjini mafuta mengi ni machafu. kila la heri ni gari nzuri sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.