Nauza gari na kiwanja

Nauza gari na kiwanja

GARETHBALE

Member
Joined
Dec 22, 2013
Posts
76
Reaction score
334
Natumaini wote hamjambo.
Nauza gari aina ya Subaru Impreza (Statiom Wagon) kwa tsh 3.5M pia nauza kiwanja kipo DSM maeneo ya Mbagala Kichemchem kwa tsh 4M. sababu za kuuza mama yangu anaumwa nataka nimpeleke India kufanya operation, Natanguliza shukrani, maelewano yapo, wasiliana nami kwa namba 0652713522
 
Dah.......pole sana mkuu.......umenigusa sana.......I wish ningekuwa katika situation ya kununua hivyo vitu........pole sana na mama atapona........
 
Get well soon mama,
Naamini watajitokeza wenye uhitaji mkuu
 
Natumaini wote hamjambo.
Nauza gari aina ya Subaru Impreza (Statiom Wagon) kwa tsh 3.5M pia nauza kiwanja kipo DSM maeneo ya Mbagala Kichemchem kwa tsh 4M. sababu za kuuza mama yangu anaumwa nataka nimpeleke India kufanya operation, Natanguliza shukrani, maelewano yapo, wasiliana nami kwa namba 0652713522

Pole sana,

Kiwanja kina ukubwa gani?
 
Mkuu, mzazi ni muhimu sana. Najutakia mafabikio ktk changamoto uliyonayo.

Vv
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom