Nauza Gari Mil 3.9 tu

Nauza Gari Mil 3.9 tu

Status
Not open for further replies.
naomba wakati mwingine mnapoweka tangazo mseme pia gari haina card,maana mmenipotezea muda wangu na fedha pia

Sasa kama hakuna documentation alitaka akuuzie kanyanga au?...ulipomuuliza ako na thinking gani mpaka atangaze biz isiyo na document alikua ana implication gani what was his response?
Angekua yuko hapa Nai tungewaita makarao waje kumtight..
 
Sasa kama hakuna documentation alitaka akuuzie kanyanga au?...ulipomuuliza ako na thinking gani mpaka atangaze biz isiyo na document alikua ana implication gani what was his response?
Angekua yuko hapa Nai tungewaita makarao waje kumtight..

yani cjaelewa dhumuni lake mpaka saivi!! kuuza gari bila card halaf hataki kwenda hata TRA!!
 
ndio,na najuta kupoteza muda wangu,gar haina card wanadai ilipotea nikamwambia twende TRA kagoma sasa kweli huyo anania ya kuuza hio gar au anainjoi watu?

Kama aligoma kwenda TRA anajua kuna issue, achana naye. na hili tangazo liondolewe hapa mara moja.
 
Peleka namba ya gari TRA utapata details zote...halafu inunue kwa 3m,rudishia rangi then peleka mkoani kaifanye TAXI
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom