Nauza gari langu, Mitsubishi CC650, kirikuu

Nauza gari langu, Mitsubishi CC650, kirikuu

sinajinasasa

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2013
Posts
2,989
Reaction score
4,168
Wakuu, ninauza kagari kangu aina ya mitsubishi minicab vx special edition, pickup truck, inajulikana kama kirikuu,
Ukubwa wa engine ni cc650, ya mwaka 1997 ni Easy Four wheel drive.
Ina hali nzuri sana, popote Tanzania inaweza kufika., nimeweka tyre mpya. Ni Full Manual, 5 gears.
Bei njoo inbox kwenye hii namba ili nikutumie picha yake kama utapenda kununua.
0756000493.
 
Kuna umhimu kila kiumbe kusomea programme ya Bachelor of Arts in Advertising.
Japo sijui inatolewa chuo gani?
 
Wakuu, ninauza kagari kangu aina ya mitsubishi minicab vx special edition, pickup truck, inajulikana kama kirikuu,
Ukubwa wa engine ni cc650, ya mwaka 1997 ni Easy Four wheel drive.
Ina hali nzuri sana, popote Tanzania inaweza kufika., nimeweka tyre mpya. Ni Full Manual, 5 gears.
Bei njoo inbox kwenye hii namba ili nikutumie picha yake kama utapenda kununua.
0756000493.

Sijaweka picha kwa vile camera nliyokuwa nayo ni high definition, image zake zina Megabytes nyingi na hapa nilipo pana low bandwidth ya data hivyo ku upload itachukua muda sana ndo maana nikasema njoo inbox nikutumie kwa whatsapp
 
Sijaweka picha kwa vile camera nliyokuwa nayo ni high definition, image zake zina Megabytes nyingi na hapa nilipo pana low bandwidth ya data hivyo ku upload itachukua muda sana ndo maana nikasema njoo inbox nikutumie kwa whatsapp
Nenda settings za camera...punguza megapixels mfano kama iko 16mp..ww set 8mp au 5mp.. Picha zitatoka vizuri tu usiwe na wasiwasi
 
Sijaweka picha kwa vile camera nliyokuwa nayo ni high definition, image zake zina Megabytes nyingi na hapa nilipo pana low bandwidth ya data hivyo ku upload itachukua muda sana ndo maana nikasema njoo inbox nikutumie kwa whatsapp
Na bei Vipi simu yako aiwezi kuandika matarakimu kwa eneo ulipo
 
Kwahiyo na kuweka bei yake itatumia megabytes nyingi pia?
 
Hapo kwa nyuma ni mkwaruzo au pamechafuka tu?
 
Bei yangu ni 8mln, chombo inaweza kufika popote Tanzania, hata kama ni Mtwara to Kagera
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom