DM ndo maeneo gani mkuu?Habari za jioni wakuu nauza fridge ndogo ipo Morogoro nauza 250,000/. Ukihitaji nicheck DM mkuu nikutumie picha kwenye watsap.
Karibuni wakuu
Mkuu ni vyema ukaambatanisha picha hapa hapa. Ndio kanuni za Jukwaa hili.Habari za jioni wakuu nauza fridge ndogo ipo Morogoro nauza 250,000/. Ukihitaji nicheck DM mkuu nikutumie picha kwenye watsap.
Karibuni wakuu
Sawa mkuu ntafanya hivyoMkuu ni vyema ukaambatanisha picha hapa hapa. Ndio kanuni za Jukwaa hili.
Vinginevyo tutalazimika kuliondoa hewani tangazo lako.
Sent using Jamii Forums mobile app
msiishie kwa huyu tu wengi wanaleta matangazo bila taarifa za msingi ikiwemo picha, bei n.k.Mkuu ni vyema ukaambatanisha picha hapa hapa. Ndio kanuni za Jukwaa hili.
Vinginevyo tutalazimika kuliondoa hewani tangazo lako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wewe unataka kuona picha tu then after kuona picha what next
DM ndo maeneo gani mkuu?[/QUOTE
Ooooh sorry I meant PMDM ndo maeneo gani mkuu?
DonePicha
Dar-MoroDM ndo maeneo gani mkuu?
Utakuwa mgonjwa, 250000 pesa ndogo afu eti friji ndogo.Habari za jioni wakuu nauza fridge ndogo ipo Morogoro nauza 250,000/. Ukihitaji nicheck DM mkuu nikutumie picha kwenye watsap.
Karibuni wakuu
Mkuu hakuna ugomvi,picha ni muhimu sana kwenye kuuza biashara za online...Jifunze kwa Alibaba,Amazon and the like wafanyavyo....ukiona matangazo yao ukilidhika ni kwenda hewani for negotiation tu na si kuanza kuomba wakutumie picha.Mwa
Kwa hiyo wewe unataka kuona picha tu then after kuona picha what next
Kwanza nmeangalia avatar yako na user name yako nkajua siyo kosa lakoUtakuwa mgonjwa, 250000 pesa ndogo afu eti friji ndogo.
Ok pamoja mkuuMkuu hakuna ugomvi,picha ni muhimu sana kwenye kuuza biashara za online...Jifunze kwa Alibaba,Amazon and the like wafanyavyo....ukiona matangazo yao ukilidhika ni kwenda hewani for negotiation tu na si kuanza kuomba wakutumie picha.
Sent using Jamii Forums mobile app