NAUZA ENGINE K12 B

NAUZA ENGINE K12 B

Kama iko poa, weka ofa, mimi nitakusaidia kutafuta wateja, nina deal na mambo ya spea za magari

Halafu usiogope kutaja bei humu mtandaoni, waliopo humu mtandaoni ndio hawa hawa tunaoishi nao mtaani na wengine ni ndugu zetu tunaowajua.

Andika bei yako, mtu kama ana nia ya dhati atakuja kuomba punguzo akiwa huko huko.
 
Kama iko poa, weka ofa, mimi nitakusaidia kutafuta wateja, nina deal na mambo ya spea za magari

Halafu usiogope kutaja bei humu mtandaoni, waliopo humu mtandaoni ndio hawa hawa tunaoishi nao mtaani na wengine ni ndugu zetu tunaowajua.

Andika bei yako, mtu kama ana nia ya dhati atakuja kuomba punguzo akiwa huko huko.
 
Salam wadau.
Nauza engine ya K12B,displacement 1290.
Engine ni nzima kabisa ina mailage ya 90,000 kms
Kwa maulizo zaidi tafadhali dm.
Inakuja complete na waya zake? Nicheck 0755815174 (whatsapp)
 
Jamani injini siuzi tena.Chombo imepona ipo barabarani
Nawasilisha
 
Back
Top Bottom