Nauza eneo langu lipo Mbagala

Nauza eneo langu lipo Mbagala

Changamoto ni pale unapouza kitu kwa sababu ya matatizo! Yaani kupata wateja kwa bei unayotaka siyo rahisi.
Kwa Mgeninani navyoifahamu ingawa si sana,hiyo bei uliyotaka enzi za Kikwete nadhani ungepata.Lakini sasa hivi ni kazi kweli kweli.
Shukran great!
 
Asante mkuu.. kumbe social science ina sehem zake. Na kuhus bei mkuu mbagala siyo goba au chanika na mwembemdogo(dege) we una bei gani niangalie maslahi yangu
Sasa mbona ulidanganya mwanzo kwa ukubwa wa eneo
 
Karibu kijichi mkuu umewah kufika..!? Shukrani kwa mchango wako

Sasa wewe nyumba yako iko kijichi au Mgeni nani?
Mbona unamix mafile mzee.

Mgeni nani n kwingine na kijichi ni kwingine, ilo eneo lingekua kijichi nisingeshangaa ila kwa Jegrafia ya apo Mgeni nani utasubiri sana na kama ulipata Mteja wa 39 basi mrudie uyo uyo tena umwambie haina kudiscusa zaidi.

Uko juu naona kuna Member kakwambia 10M ukamwambia muyajenge PM now unasema ulipata 39M ukakataa ebu jifikikie Mara 2 bro.

Nkutakie siku njema
 
Sasa wewe nyumba yako iko kijichi au Mgeni nani?
Mbona unamix mafile mzee.

Mgeni nani n kwingine na kijichi ni kwingine, ilo eneo lingekua kijichi nisingeshangaa ila kwa Jegrafia ya apo Mgeni nani utasubiri sana na kama ulipata Mteja wa 39 basi mrudie uyo uyo tena umwambie haina kudiscusa zaidi.

Uko juu naona kuna Member kakwambia 10M ukamwambia muyajenge PM now unasema ulipata 39M ukakataa ebu jifikikie Mara 2 bro.

Nkutakie siku njema
Mkuu huyo w 10m tuyajenge kimisingi ya mali kwa mali+pesa. Kam ana nyumba amabayo tutakompaset na yangu akaongez 10m. Hao jf wapo Tu wengine hata ya kula hawana
 
Huo mto/kijito unaotiririsha maji kuja hapo bakery upo umbali gani kutoka hapo?

Vipi kipindi hiki cha mvua kuna usalama?
Naona kuna aina ya majani na miwa imeota kawaida uota kwenye sehemu za maji pia kuna ukuta umekuwa mweusi kwa sababu ya kuathiriwa na maji..

Hebu fafanua
 
Mkuu nakuhakikishia Hautapata Mteja wa kununua ilo eneo kwa pesa iyo trust me ata Dalali akija ata kwambia.
Apo chamazi kuna Jamaa alijenga nyumba ikamshinda na n bonge la nyumba haswa alianza M70 kuuza imekaa miaka 15 mpaka sasa ameshusha mpaka 25M bado ajapata mteja.

Ebu vuta picha kama maeneo ayo watu wananunua nyumba 20M,15M mpaka 10M na Ni nyumba ya vyumba vitatu sitting, dinning, kitchen na stoo be serious utapata mteja ila acha kuwa na Tamaa za kupata pesa nyingi uku mazingira ya eneo, na ukubwa havirizishi

Maeneo ya Mbagala watu wanaokaa ukanda uo wana pesa za kudunduliza na unajua ni watu wa Kusini kwa 95% sasa M45 akija dalali ata kwambia zangu 5 so atatafuta mteja wauze eneo kwa M50 je mteja atapatikana ?
Ukisema ushushe ilo eneo watakwambia uliuze M20-25 dalali anaweza jitahidi mpata mteja japo pia nikwa mbinde sana so jaribu kutafuta madalali pia kwa ilo
Corana hii au covid 19 kupata hiyo 10 M shukuru sana na uza mara moja usijitie mbwembwe pesa hakuna ndugu na biashara imekufa
 
Huo mto/kijito unaotiririsha maji kuja hapo bakery upo umbali gani kutoka hapo?

Vipi kipindi hiki cha mvua kuna usalama?
Naona kuna aina ya majani na miwa imeota kawaida uota kwenye sehemu za maji pia kuna ukuta umekuwa mweusi kwa sababu ya kuathiriwa na maji..

Hebu fafanua
Huu umakini ni wa kiwango cha lami ndug Mhandisi Mzalendo hili eneo la mto 'mzinga' na halina athari yoyote kulingana na umbali pia 'relief' mto uko bondeni eneo lipo juu tambarare. Bakery ipo salama na naomba nkuambatanishie picha mtaa huu wenye bakery.
 
mkuu futi 50 x 60 ni sawa na Mita 15 x 18 ambazo ni Mita za mraba 270.
Kwa hiyo hii super high density hakuna pakupumulia ndiyo anauza 45m? Mgeni nani ni uswahilini proper kabisa. Mwenye 45m means ana uwezo wa kupata 50m na kuendelea. Hivyo kununua nyumba SQM 270 haitawezekana.
 
Uswahili mtaa huo au umetumwa mkuu
20201227_101348.jpg
 
Kwa hiyo hii super high density hakuna pakupumulia ndiyo anauza 45m? Mgeni nani ni uswahilini proper kabisa. Mwenye 45m means ana uwezo wa kupata 50m na kuendelea. Hivyo kununua nyumba SQM 270 haitawezekana.
Sijaelew ulichokiandik hapa mkuu
 
Mtaa huu ndipo kiwanja kilipo
20201227_101505.jpg
 
Pm bakery ipo hapo ktika Barbara hii. Mbagala siyo kote kuswazi wakuu tusikremu. Kama mteja njoo wasap nikutumie video, kuropoka ropoka hapa wakati huna hela wala uteja unaniharibia biashara nduguuu
20201227_101027.jpg
 
Pm bakery ipo hapo ktika Barbara hii. Mbagala siyo kote kuswazi wakuu tusikremu. Kama mteja njoo wasap nikutumie video, kuropoka ropoka hapa wakati huna hela wala uteja unaniharibia biashara nduguuuView attachment 1660179
Mkuu mbagala ya kijichi ni tofauti na rangi tatu. Kwa kushauri ili kupunguza maswali uzi wako usomeke KIJICHI au hiyo mgeni nani....

Pia ungeelezea ni barabara ipi....
Navyojua maeneo ya kijichi ni gharama sana na kama ulivyosema ni 3 mins to main road ina maana eneo pia ni ideally kwa biashara au kuweka nyumba ya kupanga ila kwa size ya eneo hapo lazima uchape ghorofa....

Sometime lugha ya kumwelewesha mteja inaweza kukukimbizia wateja....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom