Nauza Dagaa wa Mwanza waliokaangwa

Nauza Dagaa wa Mwanza waliokaangwa

Emoji06

Member
Joined
Jan 23, 2019
Posts
57
Reaction score
56
Ndugu wana jamvi, nauza dagaa safi waliokaangwa kutoka Mwanza debe elfu 55,000. mzigo utakufikia popote ulipo. ukihitaji karibu PM.
 
Na wale wa kawaida waliochujwa kwenye manyasi ni Tsh ngapi?
Waliokaushwa juani tu
 
Sado bei gani? Na gharama za kusafirisha ni juu yako?
Ndugu wana jamvi, nauza dagaa safi waliokaangwa kutoka Mwanza debe elfu 55,000. mzigo utakufikia popote ulipo. ukihitaji karibu PM.
 
Back
Top Bottom