haujasema unapatikana wap,,,mimi ni mkulima wa nyanya; niko mbio ni kuanza mavuno ya nyanya zangu. ni nyanya za kawaida pamoja na zile ndogo ndogo {cherry tomatoes} wengine wanaziita baby tomatoes. nakaribisha mwenye uhitaji wa jumla na rejareja kwenye supermarkets na hoteli.
asante