Nauza boxer bm 100

Nauza boxer bm 100

magai majigo

Member
Joined
Sep 19, 2016
Posts
76
Reaction score
27
Nauza pikipiki boxer 100 haina tatizo lolote
Ina vibali vyote
Document zote zipo
Haili mafuta
Haihitaji marekebisho ni kutoa hela, kuwasha na kuondoka
Bei laki saba tu (700,000) ukiwahi unapunguziwa
Mawasiliano. 0658 047048
Napatikana dar es salaam

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • 20170716_160712.jpeg
    20170716_160712.jpeg
    66.7 KB · Views: 88
  • 20170716_160729.jpeg
    20170716_160729.jpeg
    63.8 KB · Views: 81
700k na haina tatizo..hongera washindwe wanunuzi tu
 
Aisee bei rafiki upo wapi?

“Start where you are. Use what you have. Do what you can.”

 
Hizi pikipiki Mara nyingi ni za wizi sasa ili kujiridhisha mnatakiwa muuziane mbele ya mwanasheria na na muende TRA mkafanye transfer kabisa vinginevyo jombaa atakaenunua bila kuzingatia hayo itakula kwake.
 
Hizi pikipiki Mara nyingi ni za wizi sasa ili kujiridhisha mnatakiwa muuziane mbele ya mwanasheria na na muende TRA mkafanye transfer kabisa vinginevyo jombaa atakaenunua bila kuzingatia hayo itakula kwake.
Unamawazo mazuri lakini hayajengi zaidi yanapotosha umma, ungekua mjanja ungeuliza kwanza kuusu ilo na ukaomba kuthibishiwa kua sio ya magendo, mtu mwenye akili timamu hua anapinga kwa hoja na sio kuongelea hewani, all in all pikipiki sio ya wizi nnaiuza kwa sabab fulani. VERY SORRY BROTHER KAMA NTAKUA NMEKUKERA KWA MANENO YANGU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamawazo mazuri lakini hayajengi zaidi yanapotosha umma, ungekua mjanja ungeuliza kwanza kuusu ilo na ukaomba kuthibishiwa kua sio ya magendo, mtu mwenye akili timamu hua anapinga kwa hoja na sio kuongelea hewani, all in all pikipiki sio ya wizi nnaiuza kwa sabab fulani. VERY SORRY BROTHER KAMA NTAKUA NMEKUKERA KWA MANENO YANGU

Sent using Jamii Forums mobile app
No thank you brother huajanikera nimeongea hivyo kwasababu mie nimeibiwa juzijuzi na najua alieiiba lazma atakuwa kauza.nilikuwa natoka caution tu kwa waungwana
 
Unamawazo mazuri lakini hayajengi zaidi yanapotosha umma, ungekua mjanja ungeuliza kwanza kuusu ilo na ukaomba kuthibishiwa kua sio ya magendo, mtu mwenye akili timamu hua anapinga kwa hoja na sio kuongelea hewani, all in all pikipiki sio ya wizi nnaiuza kwa sabab fulani. VERY SORRY BROTHER KAMA NTAKUA NMEKUKERA KWA MANENO YANGU

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usimlaumu mdau ye katoa tu angalizo.Kumridhisha mnunuzi/mteja we uwe tu tayari kwa chochote kokote kule muende we si una uhakika Na chombo chako bwana.
By the way hiyo Bei ni rafiki
Kila la kheri mkuu hope utapata mteja mapema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usha uza hiyo pikipiki mteja nipo hapa
 
Back
Top Bottom