Nauza Bodaboda yangu 800,000/=

Nauza Bodaboda yangu 800,000/=

TEMBO WANGU

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2014
Posts
930
Reaction score
1,297
Wakuu habari, nauza piki piki yangu, aina ya LANTIC, imetumika mwaka mmoja, ipo katika hari nzuri, na inapiga kazi ya boda boda. Bei ni laki nane, napatikana mbagara-dar es salaam, kwa mawasiliano 0757950376, kuhusu picha, simu yangu haina uwezo wa kutuma picha hapa, ila unaweza PM , nikakutumia picha zake kwenye watsap. NB. Bei haipungui hata shilingi moja, na lengo la kuuza nataka nihame kituo cha kazi, so itakuwa ngumu kumsimamia dereva.
 
Wakuu habari, nauza piki piki yangu, aina ya LANTIC, imetumika mwaka mmoja, ipo katika hari nzuri, na inapiga kazi ya boda boda. Bei ni laki nane, napatikana mbagara-dar es salaam, kwa mawasiliano 0757950376, kuhusu picha, simu yangu haina uwezo wa kutuma picha hapa, ila unaweza PM , nikakutumia picha zake kwenye watsap. NB. Bei haipungui hata shilingi moja, na lengo la kuuza nataka nihame kituo cha kazi, so itakuwa ngumu kumsimamia dereva.
weka pichaaa aiseee
 
Wakuu habari, nauza piki piki yangu, aina ya LANTIC, imetumika mwaka mmoja, ipo katika hari nzuri, na inapiga kazi ya boda boda. Bei ni laki nane, napatikana mbagara-dar es salaam, kwa mawasiliano 0757950376, kuhusu picha, simu yangu haina uwezo wa kutuma picha hapa, ila unaweza PM , nikakutumia picha zake kwenye watsap. NB. Bei haipungui hata shilingi moja, na lengo la kuuza nataka nihame kituo cha kazi, so itakuwa ngumu kumsimamia dereva.

funga nae mktaba hyo dereva bda ya mwaka mmoja unakua umepat pesa nzuri tu,na yy anachukua mazima pikipik yake
 
Wakuu habari, nauza piki piki yangu, aina ya LANTIC, imetumika mwaka mmoja, ipo katika hari nzuri, na inapiga kazi ya boda boda. Bei ni laki nane, napatikana mbagara-dar es salaam, kwa mawasiliano 0757950376, kuhusu picha, simu yangu haina uwezo wa kutuma picha hapa, ila unaweza PM , nikakutumia picha zake kwenye watsap. NB. Bei haipungui hata shilingi moja, na lengo la kuuza nataka nihame kituo cha kazi, so itakuwa ngumu kumsimamia dereva.
Mkuu nakutafuta kwenye simu hupatikan?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom