Nauza Bajaji TVS king ina miezi saba (7)

Nauza Bajaji TVS king ina miezi saba (7)

Kinara Sagoye

Member
Joined
Apr 11, 2018
Posts
8
Reaction score
0
Naishi Dar es salaam, kwa sasa najiandaa kuhamia Dodoma kikazi!Bajaji nayoiuza ipo katika ubora imetembea miezi saba tu, kama utahitaji nicheki kwa no hii 0714811185! Asante!!!

20181005_153610-jpg.888180


20181005_154021-jpg.888181


20181005_154051-jpg.888184
 
Naishi Dar es salaam, kwa sasa najiandaa kuhamia Dodoma kikazi!Bajaji nayoiuza ipo katika ubora imetembea miezi saba tu, kama utahitaji nicheki kwa no hii 0714811185! Asante!!!

20181005_153610-jpg.888180


20181005_154021-jpg.888181


20181005_154051-jpg.888184
TVS na BAJAJ in vitu viwili tofauti sawa kusema Toyota aina ya Nissan
 
TVS na BAJAJ in vitu viwili tofauti sawa kusema Toyota aina ya Nissan
mkuu haina shida kabisa haya maneno yanakubalika katika jamii kwa umoja. Bajaji hasa zinaitwa scooter ila kwa kuwa bajaj ndio zilikuwa za mwanzo aina hii zote wa zigeneralize. Mfano pia mifuko ya rambo ama marlboro yanasimamia mifuko yote ya plastiki. Sheli/shell simamia vituo vyote vya petrol/mafuta. Kuna kipindi Honda ilisimamia pikipiki zote sasa hivi arusha pikipiki ni toyo. Pia nasikia kipindi cha nyuma simu za mikononi zilitwa mobitel
 
Sure
mkuu haina shida kabisa haya maneno yanakubalika katika jamii kwa umoja. Bajaji hasa zinaitwa scooter ila kwa kuwa bajaj ndio zilikuwa za mwanzo aina hii zote wa zigeneralize. Mfano pia mifuko ya rambo ama marlboro yanasimamia mifuko yote ya plastiki. Sheli/shell simamia vituo vyote vya petrol/mafuta. Kuna kipindi Honda ilisimamia pikipiki zote sasa hivi arusha pikipiki ni toyo. Pia nasikia kipindi cha nyuma simu za mikononi zilitwa mobitel
 
Naishi Dar es salaam, kwa sasa najiandaa kuhamia Dodoma kikazi!Bajaji nayoiuza ipo katika ubora imetembea miezi saba tu, kama utahitaji nicheki kwa no hii 0714811185! Asante!!!

20181005_153610-jpg.888180


20181005_154021-jpg.888181


20181005_154051-jpg.888184
Kama unahamia dodoma,

me niachie your my wife wako tu
 
Back
Top Bottom