Naumwa

Naumwa

mtzmweusi

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
8,698
Reaction score
9,051
Wana mmu habari za mchana mwenzenu naumwa toka ijumaa malaria kali imenikamata nimeanza kupata nafuu jana asante kwa man u kushinda na kanafuu kakaanza,nisiwachoshe sana niwatakie mchana mwema nina id ya siku 2 3 hivi
 
kula sana, kunywa maji mengi, juisi ya matunda fresh! pia usisahau zoezi kwa wingi hasa jitahidi kubeba zege kama eneo lako kuna wajenzi!
 
Dah pole sana mkuu inaonekana ni hofu ya asenal maana baada ya man u kushinda ndo umeanza kupata nafuu(just joking)
 
Wana mmu habari za mchana mwenzenu naumwa toka ijumaa malaria kali imenikamata nimeanza kupata nafuu jana asante kwa man u kushinda na kanafuu kakaanza,nisiwachoshe sana niwatakie mchana mwema nina id ya siku 2 3 hivi
Pia na AHLY ya misri imechukua KOMBE la BINGWA AFRIKA....... Wameishinda ORLANDO 3-1... je utapona sasa ????????????
 
Pole sana.


Mungu ni Mwema kila iitwapo leo "UTAPONA"
 
Dah pole sana mkuu inaonekana ni hofu ya asenal maana baada ya man u kushinda ndo umeanza kupata nafuu(just joking)

mkuu asenal ni wateja wetu siku zote
 
Wana mmu habari za mchana mwenzenu naumwa toka ijumaa malaria kali imenikamata nimeanza kupata nafuu jana asante kwa man u kushinda na kanafuu kakaanza,nisiwachoshe sana niwatakie mchana mwema nina id ya siku 2 3 hivi

ID tena?!!
Washabiki wa Manure bana!!! mna vituko...
 
Wana mmu habari za mchana mwenzenu naumwa toka ijumaa malaria kali imenikamata nimeanza kupata nafuu jana asante kwa man u kushinda na kanafuu kakaanza,nisiwachoshe sana niwatakie mchana mwema nina id ya siku 2 3 hivi

Thank God Man U walishinda, wangepigwa na hiyo malaria kali uliyonayo, tungekupoteza kabisa!
Get well soon mjukuu wangu!
 
Usiogope majeneza bado yapo mengi halafu yameshapunguzwa na bei, nyumba yako ya miliele inkusubiri ni vema kuwahi kuliko kuchelewa ukakuta hola:a s 39:
 
Pole Mkuu; Take care of yourself and get well .... karibu tena tuwepamoja.
 
Back
Top Bottom