Naumwa

pole speaker.
Isijekuwa budget ya jana imekuletea hicho unachoumwa.
Ngoja niangushe maombi spesho kwaajili yako. Get well soon.
 
haha,so unashauri ninywe sulphadoxine labda shingo itatulia eh?

Kama unaumwa malaria ni vizuri ukanywa hiyo dawa(sulphadoxine)lakini kama ni ugonjwa mwingine nenda kapate kikombeeeeeeeeeeeeee
Airtel watakupeleka na kukurudisha loliondo.
 
Kama unumwa malaria ni vizuri ukanywa hiyo dawa(sulphadoxine)lakini kama ni ugonjwa mwingine nenda kapate kikombeeeeeeeeeeeeee
Airtel watakupeleka na kukurudisha loliondo.

Watu mna imani na loriondo eh
 
Ya nan.? We naye mwanaume, uon aibu. Kujitangaza "naumwa "naumwa. Nyoooooo utavishwa always.
 
Si wamesema ukicheka unaongeza siku za kuishi, ndio najitahidi kuziongeza. :mod:

Eeeeh,safiii cheka tena basi,tenaaa na tenaaaa,...
malizia kwa kucheka kama nanilii,nani yuleeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…