Naumwa

Kufa bas tule pilau :biggrin1::biggrin1:

Mwaya polee labda unaumwa ugonjwa wa bhoke wa big brother :tonguez::tonguez:
 
Pole sana speaker,ila nadhani itakuwa ni shingo kutokana na kutikisa kichwa bila kupumzika.
 
Umewahi kusikia mahali kunaitwa samunge? Panaweza kukusaidia :dance::dance::dance::dance::dance:
 
Umewahi kusikia mahali kunaitwa samunge? Panaweza kukusaidia :dance::dance::dance::dance::dance:

Labda pakiletwa huku,ila porini siendi mie
 
Get well soon best!!!!

Asante,
Kama kuna ukweli nataka kusema kuhusu avatar basi ni kuhusu avatar yako,...
Kila napo iangalia nahisi kizungu zungu sijui macho mangapi vile,...

Agggr,badilisha bana,haraka
 
Bora uumwe upunguze mdomo, manake, dinnah anaumwa kwa ajil ya coment zako za kipuuuuuzz.
 
Bora uumwe upunguze mdomo, manake, dinnah anaumwa kwa ajil ya coment zako za kipuuuuuzz.

Ndio comment niliyo ona ina faa pale,kamaa ulivo ona wewe
huu ushuzi unafaa hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…