njombe boy
Member
- Nov 14, 2015
- 29
- 2
Binafsi, nina kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa uzima mpaka muda huu.
Nikiwa kama mzaliwa na mkazi wa mkoa wa Njombe katika jimbo la Njombe Kusini, nimeumia saana kuona chama cha mapinduzi (CCM) kikimpeleka mgombea ubunge kupitia chama hicho bwana Mwalongo bungeni wakati chini ya aliyekuwa mbunge kupitia chama hicho Bi Anne Makinda kutofanya jambo lolote la maana katika jimbo letu.
Nilitumai kijana mwenzetu Masonga kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) atuwakilishe wana wa Njombe Kusini bungeni.
2020 Tutajipanga Kimkakati kuuondoa utawala wa CCM katika jimbo la Njombe Kusini na kuivisha taji CHADEMA.
Nikiwa kama mzaliwa na mkazi wa mkoa wa Njombe katika jimbo la Njombe Kusini, nimeumia saana kuona chama cha mapinduzi (CCM) kikimpeleka mgombea ubunge kupitia chama hicho bwana Mwalongo bungeni wakati chini ya aliyekuwa mbunge kupitia chama hicho Bi Anne Makinda kutofanya jambo lolote la maana katika jimbo letu.
Nilitumai kijana mwenzetu Masonga kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) atuwakilishe wana wa Njombe Kusini bungeni.
2020 Tutajipanga Kimkakati kuuondoa utawala wa CCM katika jimbo la Njombe Kusini na kuivisha taji CHADEMA.