Wavizangila
Member
- Jun 3, 2011
- 33
- 2
Wakuu heshima mbele. Mzazi wangu ana umri wa miaka 70, hivi karibuni kafanyiwa uchunguzi wa afya yake kwa kupigwa x-ray na kukutwa na tatizo kwenye moyo na mapafu baada ya kutumia dawa kwa muda wa miezi miwili mfululizo akaanza kuumwa figo na mkono wa kulia joint za viganja zinauma sana na hazikunji zinakakamaa na moyo unauma kama kidonda naomba msaada jamani