Sahihi kabisa, furaha ikija Leo ifurahie usiogope kitu usichokijua kitakuja au hakiji, Ukakosa furaha kwa usichokijua.Kuongeza mke ni maamuzi ya mtu na uwezo wake usiogope hilo siyo wanaume wote watakaoongeza wake, badili dini uolewe na mwislamu
Sahihi kabisa, furaha ikija Leo ifurahie usiogope kitu usichokijua kitakuja au hakiji, Ukakosa furaha kwa usichokijua.Kuongeza mke ni maamuzi ya mtu na uwezo wake usiogope hilo siyo wanaume wote watakaoongeza wake, badili dini uolewe na mwislamu
Alhamdululah! Awali ya yote bibie SweetyCandy anatakiwa awaunge mkono Iran katika vita vya khaki ili tujue kama kweli anataka kusilimu.Karibu kwenye dini ya khaki ukhty nipo tyr kukupokea nikusilimishe na shekhe secretarybird
Alhamdullilah 🙏
Dipresheni hiyo… 😹😹😹🙌🙌🤣🤣🤣🤣 Huyu mshangaz umechanganyikiwa kitambo sana hivi unaelewaga thread au comment zake? Kama umeielewa hii thread nitafsirie please mimi macho yananiuma 🤐😸
Mimi nimkristo all in all kunakipindi na kipindi muazini akiazini na hamu ya kwenda kujumuika nao nakusali . Na asilimia kubwa wanaume wa kislaam wananipendaga , sana. Wengi hutamka ndoa . Wakristo asilimia 10 ndio wanajilazimisha,.
Mie mwenyewe sana napenda kuvaa mahijab yale yakung'aa na kutariziwa nakshi nakshi nilisema nikishika ndoa yangu nakuwa na vaa hayo mahijab .
Halafu napendaga vitu vingi vya waislam shida huwa nakaa kwetu ukristoni ni hii yakuongeza wanawake inanikatisha tamaa ila ukweli ndio huo nawasilisha.
Sasa je kwanini nakuwa kwenye hali hiyo namie ni mlokole ??